Screen Shot 2025 03 10 at 1.26.30 PM

Dkt. Biteko ataka fursa kwa mtoto wa kike ianzie katika ngazi ya familia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ameitaka jamii kuongeza nguvu ya kumpa fursa ya elimu mtoto wa kike kuanzia ngazi ya familia ikiwa ndiyo msingi wa maendeleo ya jamii. Dkt. Biteko amesema hayo jijini Dar es Salaam katika Kongamano lililoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communication “Citizen rising woman” ikiwa ni sehemu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 17 at 2.59.47 PM

Mila, desturi vyatajwa baadhi ya vikwazo wanawake, vijana kushiriki katika uongozi

Baadhi ya mila, desturi, imani na mfumo dume vimetajwa kuwa moja ya vikwazo vinavyowazuia wanawake na vijana wengi kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi wa jamii. Utafiti uliofanywa na Shirika la Mazingira na Haki za Binadamu na Jinsia (Envirocare), umeonesha baadhi ya changamoto hizo zikiwemo pia rushwa ya ngono na ukosefu wa fedha kwa kundi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 06 at 5.10.40 PM

Rais Dkt. Mwinyi ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi muda utakapowadia. Rais Dkt. Mwinyi ametoa rai hiyo Machi 06, 2025 katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika Viwanja vya Maonesho Dimani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Rais Dkt. Mwinyi amesema Serikali ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 20 at 13.04.14 1

Wahasibu wanawake 300 wanolewa

Takribani wahasibu wanawake 300 kutoka katika Halmashauri mbalimbali wamepatiwa mafunzo ya usimamizi wa fedha za umma. Katika ufunguzi wa mafunzo hayo kwa wanawake wahasibu kutoka kwenye mafungu na Halmashauri iliyofanyika jijini Dodoma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya Katibu Mkuu Dkt. Natu El-maamry Mwamba amesema wahasibu hao wametakiwa kusimamia…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 22 at 13.32.10

Viongozi wanawake watakiwa kuweka mikakati kupunguza pengo la kijinsia umiliki akaunti za benki

Viongozi wanawake wa mabenki wameaswa kuandaa na kutekeleza programu na mikakati itakayopunguza pengo la kijinsia kati ya wanaume na wanawake katika umiliki wa akaunti za Benki. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (B0T) (Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha), Sauda Msemo ameyasema hayo katika mkutano na viongozi Julai 18, 2024. Mkutano huo ulilenga…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 03 12 at 15.29.16

Wizara kushirikiana kuwezesha wanawake kiuchumi

Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu zimepanga kushirikiana kimkakati ili kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatika kwenye sekta ya Maliasili na Utalii. Kauli hiyo imetolewa Machi 9, 2024 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks