Kampeni kuinua wanawake kiuchumi yazinduliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewahimiza wanawake nchini kujiunga na vikundi pamoja na majukwaa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi, ikiwa ni utekelezaji wa maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Mei 12, 2025 jijini Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi…
