WhatsApp Image 2024 11 18 at 15.58.40 1

Nchi zilizoendelea zakumbushwa kutoa ahadi ya Dola bilioni 500

Nchi zilizoendelea zimetakiwa kutimiza ahadi yao ya kutoa dola za marekani bilioni 500, sawa na dola bilioni 100 kila mwaka kwa ajili ya kuzisaidia nchi zinazoendelea kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka 2025. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akichangia hoja…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 25 at 17.18.30

Dkt. Kiruswa awataka wananchi Rukwa kuomba leseni za uchimbaji mdogo wa madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wananchi wa mkoa wa Rukwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya madini kwa kuomba Leseni za Uchimbaji Mdogo ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo leo, Oktoba 24, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Zimba na Misheni vilivyoko katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 24 at 13.30.34

Tathmini yaonesha uwepo wa madini katika eneo la hekari 7,180 mkoani Rukwa

Serikali kupitia Wizara ya Madini itaendelea kutangaza fursa za uwekezaji katika Sekta ya Madini zilizopo mkoani Rukwa, kutokana na uwepo wa Madini ya Ulanga, Shaba, Emerald, Titanium, Dhahabu, Hellium, Makaa ya Mawe na Aquamarine ili kuvutia wawekezaji na kuongeza tija katika uchumi wa mkoa huo. Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesema hayo Oktoba…

Soma Zaidi
rere

Tanzania kununua helikopta kuchunguza madini ardhini

Serikali ya Tanzania imesema ina mpango wa kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalum vya uchunguzi wa madini ardhini. “Tutakwenda kununua helkopta ambayo tutaifunga vifaa vya utafiti kwa ajili ya ‘kuscan’ ardhi yetu kuweza kufahamu chini ya ardhi kuna nini,” ameeleza Waziri wa Madini Antony Mavunde. Waziri Mavunde anaeleza “bahati nzuri hivi sasa katika Dunia ya leo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks