WhatsApp Image 2025 03 20 at 15.50.46

 Waziri Mkuu ataka bidhaa zinazozalishwa nchini kukidhi viwango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za kudhibiti viwango nchini zihakikishe uzalishaji wa bidhaa  zote zinazozalishwa zikiwemo za afya zinakidhi ubora unaotakiwa na kuweza kushindana katika masoko ya kimataifa. Ametoa agizo hilo Machi 20, 2025 baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa mitambo ya kuzalisha oksijeni kwa matumizi ya hospitali, ambapo amesisitiza kuwa…

Soma Zaidi
sawaaa

Zaidi ya leseni 4,000 za madini kutolewa Mbogwe

Zaidi ya leseni 4,000 zipo katika utaratibu wa kutolewa katika maeneo manne ya Mkoa wa Kimadini Mbogwe mkoani Geita, huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani humo. Akizungumza katika mahojiano, Afisa Madini Mkazi wa Mbogwe, Mhandisi Jeremiah Hango amesema maeneo yaliyotengwa ni Nyamikonze ambapo leseni 81 ziliweza kugawiwa kwa wachimbaji wadogo,…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 17 at 11.09.06 AM

Tanzania yang’ara utekelezaji shughuli za uwazi na uwajibikaji sekta ya madini

Serikali imesema itaendelea kuweka wazi taarifa za uwekezaji na mapato yanayopatikana katika sekta ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia nchini kama Sheria inavyotaka na kwa kuzingatia vigezo vya Uwazi na Uwajibikaji vinavyosimamiwa na Asasi ya Kimataifa ya EITI. Hayo yameelezwa Machi 13, 2025 na Innocent Bashungwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati akifungua…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 10 at 3.51.10 PM

STAMICO yapongezwa uwekezaji mradi makaa ya mawe Kiwira

Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekitii Ndugu Japhet Hasunga walifanya ziara kwenye mradi wa makaa ya mawe wa Kiwira ambapo kamati ilitembelea maeneo mbalimbali ya mgodi ikiwemo mradi wa kutengeneza nishati mbadala ya Rafiki Briquette. Katika ziara hiyo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Deusdedith Magala aliwaongoza wajumbe wa kamati kushudia shughuli mbalimbali…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 21 at 1.54.18 PM

Uingereza yavutiwa na mkakati wa Tanzania kuongeza thamani madini nchini

Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Lord Collins amevutiwa na mpango wa nchi ya Tanzania kuandaa mkakati maalum wa uongezaji thamani madini nchini Tanzania na kuahidi kwamba Uingereza itatoa ushirikiano katika kusaidia eneo la uongezaji thamani madini hayo ndani ya nchi. Hayo yamesemwa wakati wa kikao kati ya Lord Collins na Waziri wa Madini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks