Screen Shot 2025 04 25 at 11.18.47 AM

Afrika yashauriwa kuweka mikakati kukabiliana na mabadiliko ya sera za kiuchumi

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amezishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara ndani ya Bara la Afrika ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya sera za kiuchumi zinazojitokeza hivi sasa duniani. Dkt. Nchemba ametoa ushauri huo jijini Washington D.C, nchini Marekani wakati akichangia taarifa ya Mwaka ya utekelezaji ya majukumu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 02 at 12.53.30 PM

Taasisi za uhifadhi zatakiwa kulinda maeneo kwa teknolojia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana amezitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zinazojishughulisha na masuala ya uhifadhi kuhakikisha zinaweka mikakati ya kulinda maeneo ya hifadhi kwa teknolojia. Ameyasema hayo Machi 29,2025 alipokuwa akizungumza na Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Arusha wakati wa ziara ya kikazi ambapo alikagua mradi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks