MAPINDUZI MAPYA YA USAFIRI WA MAJINI KANDA YA ZIWA
Mapinduzi mapya ya usafiri wa majini kanda ya ziwa.Usiku wa giza katika usafiri wa majini kwenye Ziwa Victoria umeanza kufifia na kutoa nafasi kwa alfajiri mpya yenye matumaini makubwa. Katika tukio la kihistoria lililoshuhudiwa na maelfu ya wananchi, MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI na Waziri Mkuu,Dkt. Mwigulu Nchemba. Uzinduzi huu si tu kuanza kwa safari…
