Pesa Tu Social Media Post 2025 25

SGR,BARABARA SI WASHINDANI BALI WASHIRIKA WA MAENDELEO

Sekta ya usafirishaji nchini Tanzania inapitia mapinduzi makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu uhuru. Katikati ya mapinduzi haya ni ujenzi wa reli ya SGR Tanzania (Standard Gauge Railway), mradi ambao umezua mijadala mingi miongoni mwa wachambuzi wa uchumi, wasafirishaji, na wananchi wa kawaida. Swali kuu limekuwa: Je, kuimarika kwa reli kutaua biashara ya malori na mabasi…

Soma Zaidi
Waziri Mkuu azitaka Halmashauri kuweka vituo vya kuchakata taka.

Vijana Tanzania watakiwa kushiriki biashara ya kaboni

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka halmashauri zote nchini zihakikishe kuwa zinaweka vituo vya kuchakata na kutenganisha taka ili zinapozalishwa ziweze kushughulikiwa kwa njia salama na endelevu, kwa lengo la kupunguza mzigo wa taka unaokwenda majalalani au kusambaa ovyo katika makazi ya watu. Kadhalika, Majaliwa amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa zishirikiane na Ofisi ya Makamu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 05 27 at 12.33.51 PM

Wabunge wa Zambia watembelea mradi wa SGR

Wabunge kutoka Bunge la Zambia wametembelea Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kujionea maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) unaoendeshwa kwa umeme, ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya mafunzo na kubadilishana uzoefu katika sekta ya usafirishaji na miundombinu. Ujumbe huo umetembelea mradi huo Mei 26,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 18 at 15.58.40 1

Nchi zilizoendelea zakumbushwa kutoa ahadi ya Dola bilioni 500

Nchi zilizoendelea zimetakiwa kutimiza ahadi yao ya kutoa dola za marekani bilioni 500, sawa na dola bilioni 100 kila mwaka kwa ajili ya kuzisaidia nchi zinazoendelea kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka 2025. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akichangia hoja…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks