BILIONI 517 KUCHOCHEA MAENDELEO DAR -pesatu.co.tz

BILIONI 517 KUCHOCHEA MAENDELEO DAR

Bilioni 517 kuchochea maendeleo Dar. Jiji la Dar es Salaam, ambalo ndilo kitovu cha biashara na uchumi nchini Tanzania, linapita katika kipindi cha mpito cha kihistoria kuelekea kuwa jiji la kisasa zaidi barani Afrika. Serikali imedhamiria kwa dhati kumaliza kero za usafiri kwa kuelekeza kiasi cha zaidi ya Shilingi Bilioni 517 katika kuboresha miundombinu ya…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 25

SGR,BARABARA SI WASHINDANI BALI WASHIRIKA WA MAENDELEO

Sekta ya usafirishaji nchini Tanzania inapitia mapinduzi makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu uhuru. Katikati ya mapinduzi haya ni ujenzi wa reli ya SGR Tanzania (Standard Gauge Railway), mradi ambao umezua mijadala mingi miongoni mwa wachambuzi wa uchumi, wasafirishaji, na wananchi wa kawaida. Swali kuu limekuwa: Je, kuimarika kwa reli kutaua biashara ya malori na mabasi…

Soma Zaidi
Waziri Mkuu azitaka Halmashauri kuweka vituo vya kuchakata taka.

Vijana Tanzania watakiwa kushiriki biashara ya kaboni

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka halmashauri zote nchini zihakikishe kuwa zinaweka vituo vya kuchakata na kutenganisha taka ili zinapozalishwa ziweze kushughulikiwa kwa njia salama na endelevu, kwa lengo la kupunguza mzigo wa taka unaokwenda majalalani au kusambaa ovyo katika makazi ya watu. Kadhalika, Majaliwa amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa zishirikiane na Ofisi ya Makamu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 05 27 at 12.33.51 PM

Wabunge wa Zambia watembelea mradi wa SGR

Wabunge kutoka Bunge la Zambia wametembelea Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kujionea maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) unaoendeshwa kwa umeme, ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya mafunzo na kubadilishana uzoefu katika sekta ya usafirishaji na miundombinu. Ujumbe huo umetembelea mradi huo Mei 26,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks