BoT kufuta Taasisi za huduma ndogo za fedha ambazo hazitajisajili TAMFI ,TAMIU
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amezitaka Taasisi za Huduma Ndogo za Fedha Daraja la pili kujiunga na taasisi mojawapo kati ya Mwamvuli wa Taasisi Zinazotoa Huduma Ndogo za Fedha (TAMFI) na Umoja wa Taasisi Zinazotoa Huduma Ndogo za Fedha( TAMIU) ifikapo mwishoni wa mwezi Desemba 2025. Gavana Tutuba amesema hayo alipozindua…
