Screen Shot 2025 03 17 at 2.59.47 PM

Mila, desturi vyatajwa baadhi ya vikwazo wanawake, vijana kushiriki katika uongozi

Baadhi ya mila, desturi, imani na mfumo dume vimetajwa kuwa moja ya vikwazo vinavyowazuia wanawake na vijana wengi kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi wa jamii. Utafiti uliofanywa na Shirika la Mazingira na Haki za Binadamu na Jinsia (Envirocare), umeonesha baadhi ya changamoto hizo zikiwemo pia rushwa ya ngono na ukosefu wa fedha kwa kundi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 06 at 5.10.40 PM

Rais Dkt. Mwinyi ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi muda utakapowadia. Rais Dkt. Mwinyi ametoa rai hiyo Machi 06, 2025 katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika Viwanja vya Maonesho Dimani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Rais Dkt. Mwinyi amesema Serikali ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks