Ushuru vifaa mahitaji maalum watolewa
Serikali imesema kuwa inatoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na ushuru wa forodha kwenye vifaa vilivyotengenezwa mahususi kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Hamad Hassan Chande (Mb) alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Grace Victor Tendega…
