WhatsApp Image 2024 06 30 at 20.33.59

Tanzania yaja na mpango kuwawezesha waraibu wa dawa za kulevya kiuchumi

Serikali ya Tanzania inaanda mpango wa Kitaifa wa kuwawezesha kujikimu kiuchumi vijana wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya. Mpango huo, utawawezesha vijana hao kupata mitaji ambayo itawawezesha kushiriki kwenye shughuli za ujasiriamali ambazo zitawasaidia kukuza kipato chao. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza hayo Juni 30, 2024 wakati akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali walioshiriki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 06 06 at 16.18.28

BoT, OR-TAMISEMI kujadili sekta huduma za mikopo

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inashirikiana na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) katika kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya huduma ndogo za fedha nchini. Sekta hizo ni pamoja na huduma za mikopo ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na manufaa kwa wananchi na uchumi wa nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati…

Soma Zaidi
jjjj

TANROADS kuanza ujenzi daraja la Jangwani

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani. Bashungwa ameesema hayo Mei 29,2024 bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka 2024/2025. Amesema mradi huo ni sehemu ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 05 23 at 17.18.43

Serikali ya Tanzania yatakiwa kujenga maabara za TEHAMA katika kila shule

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameiagiza Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuhakikisha inajenga maabara za TEHAMA katika kila shule ili wanafunzi wapate ujuzi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Ameyasema hayo Mei 21, 2024 kwenye kikao cha kujengewa uwezo wajumbe wa kamati hiyo kuhusu ufundishaji mubashara uliofanyika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 04 16 at 14.33.50 e1713267505112

TAMISEMI yaomba Sh Trilioni 10.125

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184 zimeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni 9.18. Kati ya fedha hizo,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks