Mkutano wa Korea kufungua milango ya uchumi, teknolojia Afrika: Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ana imani mkutano wa Korea na Afrika utafungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi na teknolojia kwa faida ya maendeleo ya Afrika. Rais Samia ameeleza hayo katika mkutano wa Korea na Afrika unaofanyika Jamhuri ya Korea kwa lengo la kujenga ushirikiano baina ya nchi hiyo…
