Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika | pesatu.co.tz

Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika

Aina za Uwekezaji Tanzania: Mwongozo wa Kina na Chaguo Unazopaswa Kujua Uwekezaji nchini Tanzania kwa ujumla hugawanyika katika makundi makuu matatu yanayofahamika sana, ambayo huunda msingi wa fursa nyingi za kifedha. Aina za uwekezaji Tanzania zinazojulikana zaidi ni: Hisa za kampuni zilizo kwenye orodha, hati fungani za serikali, na mali isiyohamishika. Kila moja ya njia…

Soma Zaidi
Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji pesatu.co.tz

Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji

Tanzania na Oman zimekutana kujadili kuongeza wigo wa ushirikiano katika biashara na uchumi kupitia Jukwaa la Biashara. Jukwaa hilo lililowakutanisha wafanyabiashara na wadau wa uwekezaji na biashara kutoka Tanzania na Oman limefanyika jijini Dar es Salaam, Oktoba 6, 2025 na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na…

Soma Zaidi
Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania pesatu.com

Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden kujadiliana kuhusu kuongeza uwekezaji na kuendelea kuleta teknolojia zao nchini. Balozi Matinyi aliitembelea kampuni ya Ericsson Septemba 02, 2025, jijini Stockholm na kuzungumza na viongozi na wataalam wao wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera za…

Soma Zaidi
Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri pesatu.com

Fahamu jinsi ya kukuza biashara ndogo

Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri, kuitangaza, usimamizi wa fedha, na kuzingatia wateja wako. Weka malengo na mpango yako Weka malengo mahususi (yaliyo wazi, yanayoweza kupimika na yanayowezekana. Hapa usiweke malengo ya vitu ambavyo havitaweza kutokea. Jua kile unachofanya na kiwe kinakutofautisha na wafanyabiashara wengine, weka sababu kwa nini wateja wanunue kwako na sio kwa wafanya biashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks