Zanzibar yaendelea kukuza utalii
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema malengo ya Mkutano wa Wadau wa Biashara ya Utalii (Z- Summit) unalenga kutangaza fursa na kukuza zaidi utalii wa Zanzibar. Dk.Mwinyi amesema Serikali inajitahidi kuweka mazingira ya kuvutia zaidi ya Uwekezaji Zanzibar ili kuwa kivutio cha wawekezaji na watalii na kuepuka…
