Bilioni 10.5 kutumika mradi wa umwagiliaji
Shlingi bilioni 10.5 zitatumika katika utekelezaji wa mradi mkubwa wa ukarabati wa Skimu ya Umwagiliaji Masimba katika Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida. Mradi huo, unaotekelezwa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, unalenga kuongeza tija ya kilimo kwa wakulima wa eneo hilo na kuboresha maisha ya zaidi ya watu…
