Screen Shot 2025 03 10 at 3.51.10 PM

STAMICO yapongezwa uwekezaji mradi makaa ya mawe Kiwira

Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekitii Ndugu Japhet Hasunga walifanya ziara kwenye mradi wa makaa ya mawe wa Kiwira ambapo kamati ilitembelea maeneo mbalimbali ya mgodi ikiwemo mradi wa kutengeneza nishati mbadala ya Rafiki Briquette. Katika ziara hiyo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Deusdedith Magala aliwaongoza wajumbe wa kamati kushudia shughuli mbalimbali…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 13 at 17.29.32

Serikali kusajili wakulima

Katika kuboresha kilimo nchini, serikali imesema itafanya usajili wa wakulima ili kujua idadi gani ya watu wanajishughulisha kwenye kilimo. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akihutubia katika tamasha la utamaduni lililofanyika Bulabo mkoani Mwanza. “Tunakwenda kuweka jitihada mbalimbali ili tukuze kilimo chetu. Cha kwanza tunachokifanya na ninaomba wakulima mnisikilize vizuri ni usajili wa wakulima…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 05 31 at 2.30.45 PM

Rais Samia apokea Kombe la Dunia

Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 31, 2022 amepokea Kombe la Dunia la Mashindano ya Mpira wa Miguu Ikulu jijini Dar es Salaam. Akipokea kombe hilo Rais Samia amesema kombe hilo kutembezwa Tanzania kuna maana kubwa kwenye mchango wa kiuchumi na kijamii kwa fursa zinazoweza kupatikana katika kuitangaza nchi. “Kwa maneno mengine hapa Tanzania tunasema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 01 27 at 18.03.45

Hongera Rais Samia

Leo Januari 27, 2022 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Watu mbalimbali, taasisi zilizo za serikali na za binafsi wamemtakia kheri Rais Samia. Ama kwa hakika salamu katika siku yake hii muhimu sio haba. Rais Samia leo ametimiza umri wa miaka 62, amesema yeye…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks