Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kujua mahitaji ya bidhaa gani inatakiwa wapi ndani na nje ya nchi. “Kuna mambo mawili ambayo yana utata na tunayafanyia kazi, kujua biadhaa gani inatakiwa na la pili ni kuunganisha mkulima na soko,” amesema Rais Samia. Rais Samia ameyasema hayo katika Jukwaa…
