Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji
Tanzania na Oman zimekutana kujadili kuongeza wigo wa ushirikiano katika biashara na uchumi kupitia Jukwaa la Biashara. Jukwaa hilo lililowakutanisha wafanyabiashara na wadau wa uwekezaji na biashara kutoka Tanzania na Oman limefanyika jijini Dar es Salaam, Oktoba 6, 2025 na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na…
