Wanafunzi CBE wapata mafunzo kudhibiti mfumuko wa bei
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) jijini Dar es Salaam kuhusiana na majukumu yake katika kusimamia Uchumi wa nchi. Katika mafunzo hayo yaliyofanyika Machi 2025 washiriki walipata fursa ya kujifunza namna Benki Kuu inavyoandaa na kutekeleza sera ya fedha inayolenga kudhibiti mfumuko wa…
