WhatsApp Image 2022 12 13 at 2.22.15 PM

Rais Samia aridhia Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kilimo utakaohusisha viongozi, watu mashuhuri na wadau takribani 3,000 kutoka sehemu mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia mkutano huo kufanyika nchini Tanzania mwaka 2023. Taarifa hiyo inabainisha kwamba aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam…

Soma Zaidi
mwanri

Acheni kurusha mbegu: Mwanri

Balozi wa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), Aggrey Mwanri amewataka wakulima wa zao la pamba katika wilaya Bariadi mkoa wa Simiyu kulima zao hilo kwa kutumia vipimo vipya vya kisasa. Vipimo hivyo ni sentimeta 60 kutoka mstari hadi mstari na sentimeta 30 kutoka shimo hadi shimo. Mwanri amewataka wakulima kufuata vipimo na kuachana na mtindo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2021 07 16 at 14.50.17

Maganda ya korosho yanavyotengeneza mafuta

Kama ulikuwa hufahamu kuwa maganda yatokanayo na zao la korosho yanatengeneza mafuta, basi sasa ujue. Lydia Amor ni mjasiriamali katika Halmashauri ya Mji wa Masasi ambae pia ni Mkurugenzi wa Lige Enterprise alifika katika maonyesho ya 45 ya Biashara (sabasaba) na kuweza kuonyesha bidhaa mbalimbali ikiwemo zao la korosho. “Nimefurahi sana kuweza kushiriki katika maonyesho…

Soma Zaidi
coffee farm orchard

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu wengi ambao wamefanikiwa bado wanaendelea kuzichangamkia fursa za kilimo biashara kwa sababu wanajua zina mafanikio makubwa na muda unavyozidi kwenda, teknolojia zinavyoendelea kuboreshwa kilimo biashara kitafanyika kwa urahisi zaidi. Hata watu waliofanikiwa tayari wanachangamkia kilimo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks