Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara
Nchi za Tanzania na Kenya zinatarajia kufanya mazungumzo juu ya katazo la biashara ndogo ndogo lililowekwa na Tanzania kwa wafanyabiashara wa kigeni. Katibu wa Baraza la Mawaziri, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Beatrice Askul aliiambia Kamati ya Bunge ya Ulinzi, Ujasusi na Mambo ya Nje Bunge kuwa kikosi cha wataalamu kipo Tanzania kujadiliana kuhusu kuondolewa kwa katazo hilo….
