NMB yapeperusha bendera yake Mlima Kilimanjaro
Katika kuendelea na shamra shamra za kusherekea Mwezi wa Huduma kwa Wateja, Benki ya NMB imeipandisha na kuipeperusha bendera yake katika Mlima Kilimanjaro. Wafanyakazi sita wa Benki hiyo ndio walioipandisha bendera hiyo katika kilele cha Mlima huo mrefu Barani Afrika. NMB imesema tukio hilo linadhihirisha kuwa wapo tayari kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja na…
