Walimu watakiwa kuzingatia uwezo wa wanafunzi
Naibu ha Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari nchini kuzingatia uwezo wa wanafunzi wanapofundisha ili wanafunzi wapate elimu na ujuzi stahiki. Hii ni kama ilivyoanishwa kwenye mtaala mpya ulioanza kutekelezwa Januari 2024 kwa madarasa ya awali, msingi na sekondari. Dkt. Msonde ametoa wito huo…
