QW

Serikali kujenga chuo cha TEHAMA Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhuri ya Korea imekubali kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasilino (Tehama) nchini Tanzania. Majaliwa amesema lengo la chuo hicho ni kuwasaidia vijana kuendeleza ubunifu wao na kuonesha namna wanavyoweza kuunda vifaa mbalimbali. Amesema hayo Oktoba 27, 2022 baada…

Soma Zaidi
ppp

Serikali kuokoa Sh bilioni 500

Serikali ya Tanzania itaokoa Sh bilioni 500 ambazo zinatumika kununua mafuta, vipuri na kufanya matengenezo ya magari ya viongozi. Fedha hizo zitaokolewa endapo serikali itawakopesha viongozi wenye hadhi ya kuwa na magari magari hayo na kuwa yao tofauti na sasa ambapo magari hayo yanamilikiwa na kufanyiwa matengenezo na serikali. Akiwasilisha bajeti ya Fedha kwa mwaka…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks