Screen Shot 2024 11 26 at 10.20.10 AM

Tanzania kuendelea kushirikiana na Japan

Serikali imesema kuwa itaendela kushirikiana na Japan huku ikitoa wito kwa kampuni za Japan kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali katika sekta zenye maslahi ya nchi zote mbili ikiwa ni pamoja na kukuza uwekezaji binafsi. Wito huo umetolewa leo jijini Dodoma wakati wa Mkutano kati ya Naibu Katibu Mkuu Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya…

Soma Zaidi
Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

BoT yafungia wakopeshaji 69

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imefungia  jumla ya majukwaa na programu tumizi “applications” 69 zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidigitali. Taarifa ya BoT iliyosainiwa na Gavana Emmanuel Tutuba Novemba 21, 2024 inaeleza kuwa majukwaa na programu hizo zimeshindwa kukidhi matakwa ya Mwogozo kwa Watoa Huduma Ndogo za Fedha wa Daraja la Pili wanaotoa huduma za…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 20 at 13.04.14 1

Wahasibu wanawake 300 wanolewa

Takribani wahasibu wanawake 300 kutoka katika Halmashauri mbalimbali wamepatiwa mafunzo ya usimamizi wa fedha za umma. Katika ufunguzi wa mafunzo hayo kwa wanawake wahasibu kutoka kwenye mafungu na Halmashauri iliyofanyika jijini Dodoma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya Katibu Mkuu Dkt. Natu El-maamry Mwamba amesema wahasibu hao wametakiwa kusimamia…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 19 at 17.11.29 e1732025998363

Kongamano la kwanza la kikodi nchini lakutanisha wadau

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imefanya kongamano la kodi kikanda kwa kuwakutanisha Wadau kutoka sekta binafsi wakijumuisha wataalam na washauri wa kodi, wadau wa sekta mbalimbali nchini, wafanyabiashara, wazalishaji wa bidhaa na mazao mbalimbali pamoja na Makundi Maalum ili kuboresha mifumo ya kodi itakayochochea mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini. Hayo yameelezwa na Kamishna…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 19 at 16.33.01 1

Tanzania, Uturuki kushirikiana kukuza utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii lengo ikiwa ni kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi hizo mbili. Hayo yameelezwa Novemba 19,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dkt. Mehmet Gulluoglu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks