Tanzania kuendelea kushirikiana na Japan
Serikali imesema kuwa itaendela kushirikiana na Japan huku ikitoa wito kwa kampuni za Japan kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali katika sekta zenye maslahi ya nchi zote mbili ikiwa ni pamoja na kukuza uwekezaji binafsi. Wito huo umetolewa leo jijini Dodoma wakati wa Mkutano kati ya Naibu Katibu Mkuu Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya…
