Benki ya CRDB yazindua hati fungani ya Al-Barakah Sukuk
Benki ya CRDB imezinduzi hati fungani ya Al-Barakah Sukuk inayozingatia misingi ya Shari’ah inayounga mkono jitihada za Serikali katika kupanua wigo wa huduma jumuishi za fedha. Naibu Gavana wa Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha Sauda Msemo, kwa niaba ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ameipongeza CRDB kwa hatua hiyo wakati wa…
