Tanzania kuandaa World Travel Awards 2025: Dkt Abbasi
Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi amesema Tanzania inakwenda kuandaa Tuzo za Utalii duniani (World Travel Awards, WTA) kwa Bara la Afrika kwa mwaka 2025. Dkt. Abbasi amesema hayo Novemba 26, 2024 wakati akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam kutoka nchini…
