Screen Shot 2024 11 26 at 10.20.10 AM

Tanzania kuendelea kushirikiana na Japan

Serikali imesema kuwa itaendela kushirikiana na Japan huku ikitoa wito kwa kampuni za Japan kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali katika sekta zenye maslahi ya nchi zote mbili ikiwa ni pamoja na kukuza uwekezaji binafsi. Wito huo umetolewa leo jijini Dodoma wakati wa Mkutano kati ya Naibu Katibu Mkuu Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya…

Soma Zaidi
wwee

Tanzania ndio eneo maridhawa zaidi kwa utalii wa safari duniani

Hatimaye baada ya mchuano mkali Tanzania imeibuka kuwa eneo linaloongoza zaidi duniani kwa utalii wa safari (hasa za kuona wanyama wa porini) ikiyashinda mataifa mbalimbali duniani ikiwemo nchi za Afrika. Hii ni kwa mujibu wa Tuzo za Utalii Duniani (World Travel Awards) zilizotolewa usiku wa kuamkia Novemba 24, 2024 kisiwani Madeira, Ureno. Zikitambulika kuwa sawa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 20 at 13.04.14 1

Wahasibu wanawake 300 wanolewa

Takribani wahasibu wanawake 300 kutoka katika Halmashauri mbalimbali wamepatiwa mafunzo ya usimamizi wa fedha za umma. Katika ufunguzi wa mafunzo hayo kwa wanawake wahasibu kutoka kwenye mafungu na Halmashauri iliyofanyika jijini Dodoma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya Katibu Mkuu Dkt. Natu El-maamry Mwamba amesema wahasibu hao wametakiwa kusimamia…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 19 at 16.33.01 1

Tanzania, Uturuki kushirikiana kukuza utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii lengo ikiwa ni kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi hizo mbili. Hayo yameelezwa Novemba 19,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dkt. Mehmet Gulluoglu…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 05 at 13.23.40 1

Tanzania, Ujerumani kubadilishana teknolojia sekta ya kilimo

Serikali ya Ujerumani imesema ipo tayari kubadilishana teknolojia za kisasa na mifumo bora ya Kilimo wanayotumia itakayowawezesha wakulima wa Tanzania kuinua kiwango cha uzalishaji mazao mbalimbali ili iweze kuzalisha mazao hayo na yaweze kupata soko katika Bara la Ulaya. Hayo yameelezwa katika kikao kazi kati ya Tanzania na Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Bavaria, nchini Ujerumani….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 25 at 17.18.30

Dkt. Kiruswa awataka wananchi Rukwa kuomba leseni za uchimbaji mdogo wa madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wananchi wa mkoa wa Rukwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya madini kwa kuomba Leseni za Uchimbaji Mdogo ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo leo, Oktoba 24, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Zimba na Misheni vilivyoko katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks