Mauzo kati ya Tanzania, Saudi Arabia yapo chini: Waziri Kitila
Imeelezwa kuwa kiwango cha biashara (mauzo) kati ya Tanzania na Saudi Arabia kiko chini na kimekuwa kikiunufaisha upande mmoja wa Saudi Arabia, ambapo wakati mauzo ya nje ya Saudi Arabia nchini Tanzania yakifikia dola za marekani bilioni 52.3, Tanzania imeiuzia nchi hiyo bidhaa zenye thamani ya dola milioni 12.3 pekee. Waziri wa Nchi Ofisi ya…
