Rais Samia aridhia malipo michango ya walioondolewa vyeti feki
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameridhia watumishi wa umma waliondolewa kazini kwa sababu ya vyeti feki, walipwe michango yao waliyochangia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. Rais Samia ametangaza hayo mjini Dodoma Oktoba 26, 2022 ambapo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako amesema utekelezaji…
