Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika
Wafanyabiashara nchini wameshauriwa kuhakikisha wanatumia fursa ya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi nane za majaribio za kuuza bidhaa chini ya Mkataba wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kwa kupeleka bidhaa zenye viwango na ubora wa kimataifa. Uuzaji huo wa bidhaa unatarajiwa kuanza Julai 1, 2023. Wito huo umetolewa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na…
