WhatsApp Image 2023 02 10 at 14.19.43

Zoezi uhakiki wa mashamba lapamba moto

Zoezi la uhakiki na upimaji wa mashamba kwa ajili programu ya Building a Better Tomorrow (BBT ) linaenda vizuri kutokana na ushirikiano na utayari unaooneshwa na viongozi na wananchi wa mikoa ya Kigoma na Kagera. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 06 at 15.40.07 1

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha vijana kufanya kilimo biashara kupitia Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT). Wito huo umetolewa na Mhandisi Godwin Makori ambaye anaratibu na kusimamia kazi ya kuhakiki na kupima mashamba kwa ajili ya kuyaandalia hati miliki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 01 31 at 14.51.30

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa mbalimbali pamoja na programu za kuwezesha vijana. Amesema kwa kufanya hivyo, kutatatua changamoto kubwa ya ajira miongoni mwa vijana. Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo vikuu na vyuo…

Soma Zaidi
sasas

TCRA yatangaza fursa wabunifu wa TEHAMA

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka vijana wabunifu na wavumbuzi wa programu mbalimbali za kidijitali kujitokeza kupata rasilimali zitakazowawezesha kupata fursa ya kutengeneza ajira; kujiletea kipato na kutatua changamoto mtambuka za jamii. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Jabir Bakari amesema mapema leo Jumatatu Novemba 14, 2022 kuwa mamlaka hiyo kwa kushirikiana na taasisi nyingine imeamua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks