Takribani bilioni 1.6 zachangwa kongamano la eLearning Afrika
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameongoza Harambee maaalum ya wadau mbalimbali kuchangia Kongamano la eLearning Africa ambapo zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 zimepatikana. Akizungumza Aprili 16, 2025 jijini Dar es Salaam katika Harambee hiyo kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania kwa mara nyingine inaingia katika historia ya kimataifa kwa kuwa…
