Uzalishaji mazao ya chakula waongezeka Mbinga
Uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga (MTC) umeongezeka kwa asilimia 7.9 katika msimu wa 2022/23 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Afisa Kilimo na Msimamizi wa Pembejeo wa MCT Andrew Chiwinga amebainisha hayo Oktoba 24, 2023. Ameeleza kuwa ongezeko hilo limetokana na mfumo mzuri wa upatikanaji wa mbolea za ruzuku….
