Watanzania watakiwa kutumia fursa mkutano wa mafuta na gesi
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameshiriki katika kikao cha maandalizi ya Mkutano na Maonesho ya 11 ya Petroli ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25) unaotarajiwa kufanyika kuanzia Machi 5 hadi 7, 2025 katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa siku tatu wa kimataifa…
