WhatsApp Image 2024 08 19 at 12.28.57

Asali ya Tanzania yapata kibali kuuzwa China

Katika hatua kubwa inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya ufugaji nyuki, Serikali ya Tanzania imefanikiwa kusaini makubaliano na Serikali ya China, kuruhusu uuzaji wa asali ya Tanzania kwenye soko la China. Makubaliano haya yanafuatia jitihada za muda mrefu za kuhakikisha bidhaa za asali kutoka Tanzania zinapata nafasi ya kuuzwa katika soko kubwa zaidi duniani. Akizungumza…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks