WhatsApp Image 2024 09 12 at 13.21.41

Tanzania imesajili miradi ya Dola Bilioni 8.65 ndani ya mwaka mmoja

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ndani ya mwaka mmoja, Serikali imefanikiwa kusajili miradi 9,678 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 8,658 hali ambayo inaonesha matokeo chanya ya uwekezaji nchini. Waziri Mkuu ameeleza hayo Septemba 11, 2024 wakati akizungumza na wadau mbalimbali walioshiriki hafla ya uzinduzi wa Taarifa tano za Maboresho ya Mazingira ya Biashara…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 10 at 14.01.32

Mradi wa Tsh milioni 50 wakabidhiwa Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori

Mradi wa Tsh milioni 50 wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) umekabidhiwa kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Mradi huo uliopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali vyenye gharama ya shilingi milioni 50. “Endapo WAGA watashiriki…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks