Wananchi watakiwa kutumia taasisi za fedha zilizosajiliwa
Wananchi wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia Taasisi za Fedha zilizosajiliwa ambazo zinazingatia Sheria, kanuni na taratibu katika huduma za fedha ili kujiepesha na watoa huduma za fedha wasio sajiliwa. Rai hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, Dadi Kolimba, alipokutana na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya…
