Wizara ya Utalii, A & Kent Group kushirikiana kuleta watalii zaidi Tanzania
Wizara ya Maliasili na Utalii na moja ya makampuni makubwa ya utalii duniani ya Abercrombie and Kent Travel Group (AKTG) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kuongeza watalii wa kimataifa nchini Tanzania. Hayo yamefikiwa wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi na ujumbe wake walipokutana na Mtendaji Mkuu wa AKTG Christina Levis nchini…
