FEDHA ZA MIRADI ZITUMIKE KAMA ILIVYOKUSUDIWA
Fedha za miradi zitumike kama ilivyokusudiwa . Siku ya Jumanne, Februari 17, 2026, imeweka historia mpya katika Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga ambapo Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua rasmi mitambo ya kisasa ya kuzalisha hewa tiba ya oksijeni katika Hospitali ya Wilaya ya Lushoto. Tukio hili si tu la kisherehe, bali ni kielelezo cha…
