BILIONI 12.9 ZAOKOLEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA SGR -pesatu.co.tz

BILIONI 12.9 ZAOKOLEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA SGR

Bilioni 12.9 zaokolewa katika utekelezaji wa SGR. Katika kuelekea kilele cha mafanikio ya usafirishaji nchini, Mradi wa SGR Tanzania umezidi kuonyesha matumaini makubwa baada ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuanza kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka serikalini. Hatua hii ni kielelezo tosha kuwa uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita umeanza kuzaa matunda…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks