Bajeti kilimo kufika Trilioni 1 mwakani
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba, ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania itaendelea kuwekeza fedha za kutosha kwenye sekta ya kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazao na kuifanya nchi kuwa ghala la chakula duniani. Dkt. Nchemba amesema hayo wakati akishiriki, mdahalo wa viongozi wa ngazi ya juu wa nchi za Afrika,…
