mkoo

Naibu Waziri atamani kilimo kiwanufaishe wakulima

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amefanya ziara ya kikazi mkoani Tanga ambapo amezungumza Menejimenti ya Bodi ya Mkonge Tanzania baada ya kukagua ukarabati wa jengo la ofisi ya Bodi hiyo. “Natamani kuwaona wakulima nchini wakinufaika kwa kazi wanayoifanya”, amesema Naibu Waziri. Mavunde amesema Serikali ina malengo ya kukuza uchumi wa kaya na uchumi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks