Screen Shot 2025 04 17 at 1.29.29 PM

Fedha za miradi ambazo hazijatumika hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali

Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia uwajibikaji na uwazi katika matumizi ya fedha zilizotengwa katika bajeti. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmad Katani, aliyetaka kujua lini…

Soma Zaidi
Screen Shot 2024 12 03 at 12.33.23 PM

Jumuiya ya Wahasibu Wakuu Afrika yatakiwa kuweka mifumo usimamizi fedha za umma

Jumuiya ya Wahasibu Wakuu wa nchi za Afrika wametakiwa kuandaa mapendekezo yanayohusu umuhimu wa mifumo madhubuti ya usimamizi wa fedha za umma inayoweza kukabiliana na changamoto zinazojitokeza duniani. Changamoto hizo ni pamoja na athari za mabadiliko ya tabianchi, mabadiliko ya kiteknolojia na mabadiliko ya kiuchumi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa Disemba 02,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 03 01 at 17.50.55

Wadau waipa Tanzania Dola za Marekani bilioni 2.7

Takribani Dola za Marekani bilioni 2.7 zimetolewa na wadau wa maendeleo kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, asilimia 51 ni misaada na asilimia 49 ni mikopo yenye masharti nafuu. Hayo yameeleza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar katika mkutano wa Majadiliano ya Kimkakati kati ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks