WhatsApp Image 2023 05 02 at 13.57.54 1

Wafanyakazi wachekelea nyongeza mishahara

Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amerudisha nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa kila mwaka iliyokuwa imeondolewa miaka saba iliyopita. “Mambo ni moto, mambo ni fire” alisikika Rais Samia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Meimosi mkoani Morogoro. “Niseme pia, kuna nyongeza za mishahara za mwaka, ambazo kwa muda mrefu…

Soma Zaidi
mmm

Vijana jitengezeeni ajira: Makinda

Spika mstaafu wa Bunge ambae pia ni Kamisaa wa Sensa Kitaifa, Anna Makinda amewataka vijana wasomi kujitengenezea uchumi wao binafsi. Makinda amewataka vijana kutumia fursa zilizoko kwenye maeneo wanayoishi badala ya kutegemea ajira kutoka serikalini au sekta binafsi. Makinda ametoa wito huo kwa vijana wakati akizungumza Oktoba 12 na Kamati ya sensa katika kikao cha…

Soma Zaidi
ttttt

Nyongeza ya 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi: Tucta

Raisi wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema wamewasilisha malalamiko yao kwa Serikali kwani Kiwango cha nyongeza ya mshahara iliyoongezwa katika mwezi Julai ni kinyume na ahadi iliyotolewa na Rais Samia siku ya Mei Mosi mwaka huu kwani baadhi ya watumishi wamepata nyongeza ya shilingi Elfu Nane na kuendelea. “Hoja kubwa iliyotuleta…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks