huss

Tutafanya yote yanayowezekana kusaidia wanawake: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Mwinyi amesema serikali yake itafanya kila linalowezekana katika kuwasaidia wanawake kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo uchumi, uongozi wa kisiasa na uongozi katika utendaji. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanzawake Duniani Machi 8, 2022 yanayofanyika kitaifa Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “tutaongeza idadi ya viongozi katika serikali”….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 03 03 at 1.56.32 PM

Tanzania: Tutaendelea kusimamia usawa, uwezeshaji wanawake

Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis ameeleza hayo mara baada ya kuwasili nchini akitikokea Ethiopia alikoshiriki Mkutano wa Sita wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks