Nape: tutaongeza ushiriki wa wanawake katika TEHAMA
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema moja ya mashirikiano katika Mkataba uliosania na Wizara pamoja na Huawei Tanzania ni kuongeza ushiriki wa wanawake katika TEHAMA. Waziri Nape ameyasema hayo wakati akizungumza na Vyombo vya Habari mara baada ya kumalizika kwa sherehe za kutoa tuzo kwa washindi wa progamu ya ‘Seeds…
