sasasa

Simba, Yanga zaingiza Sh 410 milioni

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza mapato ya mechi ya Simba vs Yanga iliyochezwa Aprili 16 iliingiza Sh410 milioni. Tarifa ya TFF imeeleza mgawanyo wa hela hizo ambapo VAT ni Sh62 milioni, Baraza la Michezo (BMT) Sh10 milioni, gharama za tiketi Sh22 milioni, uwanja Sh47 milioni na mchezo ni Sh22 milioni. TFF imeeleza kuwa wao…

Soma Zaidi
sss

Msitoroshe madini: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wachimbaji wadogo wawe wazalendo kwa kuacha kutorosha madini. Rais Samia amesema hayo wakati wa utiaji saini kati ya serikali na kampuni tatu za madini kutoka Australia Chamwino Dodoma April 17, 2023. “Niwaombe sana wachimbaji wadogo sasa ule utoroshaji hebu tuwe wazalendo zaidi. Tuna viwanda ndani vya kuchakata madini,…

Soma Zaidi
uta

Pato la utalii kupaa

Sekta ya utalii inatarajiwa kuchangia Pato la Taifa kwa 19.5% ifikakapo mwaka 2025/2026. Sekta hiyo inayokuwa kwa kasi nchini Tanzania imekuwa ikichangia Pato la Taifa kwa aslimia 17.5 na asilimia 30 ya fedha za kigeni. Makadirio ya wadau wa sekta hiyo yanaonesha kuwa mapato ya utalii yataongezeka kwa asilimia 6.2 kuanzia sasa hadi kufika mwaka…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks