Wananchi kisiwa cha Maisome kugawiwa hekta 2943.8
Wananchi wa Kisiwa cha Maisome kilichopo katika ziwa Victoria wilayani Sengerema watamegewa hekta 2943.8 kutoka katika Hifadhi ya Msitu wa Maisome kwa ajili ya Malisho ya Mifugo. Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Dunstan Kitandula amesema hayo Bungeni Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric James Shigongo aliyetaka kujua ni lini…
