Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga
Uvunaji wa samaki katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga mkoani Ruvuma uliongezeka kwa asilimia 114.3 kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ikilinganishwa na mwaka 2021/22. Afisa uvuvi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Musa Mwasenga amesema hayo Novemba 21, 2023, kuwa katika kipindi hicho uvunaji wa samaki uliongezeka kutoka tani 0.7 hadi kufikia tani 1.5. “Ongezeko…
