wqw

Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye misitu

Watanzania wametakiwa kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia sahihi zilizofanyiwa utafiti ili wapate tija katika rasilimali za misitu zilizopo nchini. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Utafiti wa Matumizi ya Misitu Dkt. Chelestino Balama wakati akiongea na baadhi ya timu ya wataalamu wa misitu na nyuki na waandishi wa habari…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 06 30 at 20.33.59

Tanzania yaja na mpango kuwawezesha waraibu wa dawa za kulevya kiuchumi

Serikali ya Tanzania inaanda mpango wa Kitaifa wa kuwawezesha kujikimu kiuchumi vijana wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya. Mpango huo, utawawezesha vijana hao kupata mitaji ambayo itawawezesha kushiriki kwenye shughuli za ujasiriamali ambazo zitawasaidia kukuza kipato chao. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza hayo Juni 30, 2024 wakati akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali walioshiriki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 22 at 16.04.01

Miradi ya “REGROW” Ruaha italeta watalii Kusini Dkt. Abbasi

Utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) utakuwa chachu ya kuongeza idadi kubwa ya watalii katika Hifadhi za maeneo hayo. Hivyo watekelezaji wa miradi hiyo wametakiwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa umakini, kwa kasi inayohitajika na kwa kiwango cha juu ili ujenzi wa miundombinu yote ikamilike kwa wakati….

Soma Zaidi
nyy 1

Uzalishaji asali waongezeka Mbinga

Uvunaji wa asali katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga umeongezeka kwa asilimia 5.1 mwaka 2022/23 ikilinganishwa na mwaka 2021/22. Akizungumza Novemba 8, 2023 kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Amina Seif, Afisa Nyuki wa Halmashauri hiyo Gilbert Gotifrid amesema kuwa katika kipindi hicho tani za asali zilizovunwa ziliongezeka kutoka 3.9 hadi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks