Kigoma yatajwa kwenye orodha ya mikoa inayolegalega utekelezaji miradi
Mkoa wa Kigoma imetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayolegalega katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa, ameutaja mkoa huo Agosti 12, 2024 wakati wa ziara yake mkoani Kigoma alipokutana na kuzungumza na watumishi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa huo…
