WhatsApp Image 2023 10 19 at 13.07.13

Wadau usafirishaji waomba nauli ipande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na wadau wa usafirishaji katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam Oktoba 18, 2023 ambapo wadau hao wamewasilisha ombi la kupandishwa kwa nauli. RC Chalamila amesema wadau wa usafirishaji ni kundi muhimu hakuna anayeweza kubeza ukweli huo,…

Soma Zaidi
sawawa

Bei ya dizeli yazidi kupaa Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba. Taarifa ya Ewura inasema kwa mkoa wa Dar es Salaam lita ya petrol kwa bei ya rejareja ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 22 at 12.39.52

Tanzania kuacha kusafirisha korosho ghafi 2026/27

Serikali ya Tanzania imeazimia kuacha kusafirisha korosho ghafi ifikapo mwaka 2026/27. Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema hayo Agosti 21, 2023 wilayani Mkuranga alipotembelea kiwanda cha TANCOM kinachojihusisha na ukamuaji mafuta ya maganda ya korosho (CNSL) na kiwanda cha SABAYI INVESTMENTS cha kubangua korosho. Ameeleza kuwa mkakati wa Serikali ni kubangua korosho zote zinazozalishwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.58

Halmashauri 31 zapatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo

Jumla ya Halmashauri 31 zimepatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo kwa wakulima (Soil Scanner). Vifaa vilivyogaiwa ni soil scanner, vishikwambi, printer, lamination machine pamoja na seti ya kompyuta katika Halmashauri za mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Dodoma, Singida na Tabora. Akizungumza wakati wa ugawaji wa vifaa hivyo, mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks