WhatsApp Image 2023 10 11 at 16.01.32 1

Rais Samia akaribisha wawekezaji wa India

Rais Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wawekezaji wa India kuja kuwekeza Tanzania akiahidi mazingira rafiki ya biashara na maendeleo ya uchumi. Mkuu huyo wa nchi, ameyasema hayo New Delhi wakati akizungumza na wawekezaji katika jukwaa la biashara na uwekezaji la Tanzania-India katika ziara yake ya siku tatu nchini India. Rais Samia amesema Tanzania inatekeleza maendeleo na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks