WhatsApp Image 2024 07 22 at 13.32.10

Viongozi wanawake watakiwa kuweka mikakati kupunguza pengo la kijinsia umiliki akaunti za benki

Viongozi wanawake wa mabenki wameaswa kuandaa na kutekeleza programu na mikakati itakayopunguza pengo la kijinsia kati ya wanaume na wanawake katika umiliki wa akaunti za Benki. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (B0T) (Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha), Sauda Msemo ameyasema hayo katika mkutano na viongozi Julai 18, 2024. Mkutano huo ulilenga…

Soma Zaidi
Kariakoo

Soko la Kariakoo kufunguliwa mwezi Agosti

Shirika la Masoko ya Kariakoo limetangaza kurejeshwa kwa wafanyabiashara 891 sokoni Kariakoo baada ya ujenzi wa soko jipya na ukarabati wa soko kuu kukamilika. Taarifa ya Manejimenti ya Masoko ya Kariakoo inaeleza kuwa orodha hiyo ina majina ya wafanyabiashara waliokidhi sifa na vigezo. “Wafanyabiashara wanaodaiwa na Shirika ambao wapo kwenye orodha wanajulishwa kuwa hawatarejeshwa sokoni…

Soma Zaidi
swe

Mbunge alia na mikopo kausha damu

Mbunge wa viti maalum Mwantumu Zodo ametaka kufahamu ni lini Serikali itarejesha mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ambayo imesitishwa kwa muda mrefu. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma Februari 02, 2023 amehoji “kwa kuwa wakina mama bado wanahangaika na mikopo ya kausha damu mitaani, je ni lini sasa serikali itaanza tena zoezi hili la utoaji mikopo…

Soma Zaidi
dede

EU yatoa ruzuku 9bn kwa ajili ya mradi wa Nishati Safi Tanzania

Inakadiriwa Watanzania zaidi ya asilimia 80 wanatumia vyanzo vya nishati ya kupikia  ambavyo si salama na vyenye madhara ya kiafya, kiuchumi na kimazingira. Tanzania imelenga kuboresha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kutokana na umuhimu wa afya za Watanzania na Mazingira. Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga akimuwakilisha Mgeni…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks