Mnada wa kwanza wa chai utawanufaisha wakulima Tanzania?
Novemba 13, 2023, Bodi ya Chai Tanzania (TBT) iliweka historia kufuatia uzinduzi wa Mnada wa kwanza wa Kimataifa wa Chai. Mnada huo, unaolenga kuongeza thamani kwenye zao la chai nchini ili kuwa sehemu ya mchango katika Pato la Taifa. Mnada huo utakakuwa unaendeshwa na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX). Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya…
