ASA yaagizwa kujenga ghala na kiwanda cha mbegu Nzega
Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), Dkt. Sophia Kashenge kuharakisha mchakato wa ujenzi wa ghala la kuhifadhia mbegu zinazovunwa kwenye shamba la mbegu la Kilimi lililopo wilaya ya Nzega, mkoani Tabora. Silinde ametoa maagizo hayo wakati wa ziara yake ya siku mbili Mei 18 na…
