WhatsApp Image 2024 04 16 at 14.33.50 e1713267505112

TAMISEMI yaomba Sh Trilioni 10.125

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184 zimeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni 9.18. Kati ya fedha hizo,…

Soma Zaidi
dede

EU yatoa ruzuku 9bn kwa ajili ya mradi wa Nishati Safi Tanzania

Inakadiriwa Watanzania zaidi ya asilimia 80 wanatumia vyanzo vya nishati ya kupikia  ambavyo si salama na vyenye madhara ya kiafya, kiuchumi na kimazingira. Tanzania imelenga kuboresha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kutokana na umuhimu wa afya za Watanzania na Mazingira. Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga akimuwakilisha Mgeni…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 21 at 15.12.17

Waomba serikali kuwakopesha vitendea kazi

Vitendea kazi vimetajwa kama changamoto inayowakabili wajasiriamali wadogo nchini. Baadhi ya wajasiriamali waliohudhuria katika maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kuangalia namna pia ya kutoa mikopo ya vitendea kazi ikiwemo mashine. Bahati Malangalila ambae ni mjasiriamali wa kutengeneza vinywaji na vyakula vya lishe ameitaja changamoto hiyo kama kikwazo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks