WhatsApp Image 2024 08 12 at 11.30.50

Serikali kuwa na hati fungani ya usalama wa chakula nchini: Rais Samia

Serikali inafanya mchakato katika kuwezesha Hatifungani ya Usalama wa Chakula ili kukuza Sekta ya Kilimo na kukuza mtaji wa kukopesha wakulima. Pia imelenga kuwezesha Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) katika nyanja zote za kiteknolojia, vifaa bora pamoja na kuongeza ukubwa wa maghala ya kuhifadhia nafaka ili iweze kununua na kuhifadhi chakula kwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 22 at 13.32.10

Viongozi wanawake watakiwa kuweka mikakati kupunguza pengo la kijinsia umiliki akaunti za benki

Viongozi wanawake wa mabenki wameaswa kuandaa na kutekeleza programu na mikakati itakayopunguza pengo la kijinsia kati ya wanaume na wanawake katika umiliki wa akaunti za Benki. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (B0T) (Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha), Sauda Msemo ameyasema hayo katika mkutano na viongozi Julai 18, 2024. Mkutano huo ulilenga…

Soma Zaidi
Kariakoo

Soko la Kariakoo kufunguliwa mwezi Agosti

Shirika la Masoko ya Kariakoo limetangaza kurejeshwa kwa wafanyabiashara 891 sokoni Kariakoo baada ya ujenzi wa soko jipya na ukarabati wa soko kuu kukamilika. Taarifa ya Manejimenti ya Masoko ya Kariakoo inaeleza kuwa orodha hiyo ina majina ya wafanyabiashara waliokidhi sifa na vigezo. “Wafanyabiashara wanaodaiwa na Shirika ambao wapo kwenye orodha wanajulishwa kuwa hawatarejeshwa sokoni…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 06 30 at 20.33.59

Tanzania yaja na mpango kuwawezesha waraibu wa dawa za kulevya kiuchumi

Serikali ya Tanzania inaanda mpango wa Kitaifa wa kuwawezesha kujikimu kiuchumi vijana wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya. Mpango huo, utawawezesha vijana hao kupata mitaji ambayo itawawezesha kushiriki kwenye shughuli za ujasiriamali ambazo zitawasaidia kukuza kipato chao. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza hayo Juni 30, 2024 wakati akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali walioshiriki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 06 06 at 16.18.28

BoT, OR-TAMISEMI kujadili sekta huduma za mikopo

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inashirikiana na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) katika kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya huduma ndogo za fedha nchini. Sekta hizo ni pamoja na huduma za mikopo ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na manufaa kwa wananchi na uchumi wa nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati…

Soma Zaidi
jjjj

TANROADS kuanza ujenzi daraja la Jangwani

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Daraja la Jangwani. Bashungwa ameesema hayo Mei 29,2024 bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka 2024/2025. Amesema mradi huo ni sehemu ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks