Bilioni mbili kujenga soko la kisasa Muleba
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Zainab Katimba amemwelekeza mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera kuhakikisha ujenzi wa soko la kisasa la Muleba unakamilika ndani ya miezi sita. Pia amemwelekeza kukamilisha haraka hatua za manunuzi na kupata mkandarasi wa ujenzi wa soko hilo…
